RITA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Registration Insolvency and Trusteeship Agency
MEDIA CENTRE
Album Detail
March
21
2017
USAJILI GEITA NA SHINYANGA
News Update
Dar es Salaam



`
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Dkt Harrison Mwakyembe(MB) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mpango wa usajili wa watoto wenye umri chini ya miaka mitano kwa Mkoa wa Geita na Shinyanga,wa kwanza kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga na Wakwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Zainabu Telack wengine ni wawakilishi wa Mashirika ya Maendeleo ya kimataifa pamoja na viongozi Mbalimbali wa Dini na vyama vya Siasa.
View Full Page