RITA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Registration Insolvency and Trusteeship Agency
MEDIA CENTRE
Album Detail
July
12
2018
TATHIMINI MARA NA SIMIYU
News Update
Dar es Salaam



`
Mkoa wa Simiyu umeweza kusajili watoto 337,662 ambao ni sawa na asilimia 91.7 ya watoto waliotarajiwa kusajiliwa kwa kipindi cha miezi mitatu kutoka asilimia 5 ya watoto waliokuwa wamesajiliwa hapo awali. Na kwa upande wa Mkoa wa Mara umeweza kusajili watoto 336,325 ambao ni sawa na asilimia 87.7 ya watoto waliotarajiwa kusajiliwa kwa kipindi cha miezi mitatu kutoka asilimia 7.1 ya hapo awali kabla ya kuanza kutekelezwa kwa mpango huo .
View Full Page